Demu: Unafanya Kazi gani?
Jamaa: Unaifahamu Whatsapp?
Demu: Hapana, nini?
Jamaa: Ni Kampuni kubwa sana duniani yenye wateja wengi sana, zaidi ya milioni 300. Sasa mimi ni Admin wa Magroup kama matano hivi pale Whatsapp.
Demu: Wow!!! Darling kumbe we mtu mzito hivyo jamani
No comments:
Post a Comment